everything around the world

follow me on instagram and on twitter @moshyenbond ..and @twitter its @moshyhabibu

Search This Blog

Wednesday, November 20, 2013

hali ya hewa ya upepo yamuacha Kate Middleton Ahangaike

mwanamke ambaye alizaa mtoto ambaye amezidi kuleta historia zaidi ndani ya familia ya kifalme nchini Uingereza Kate, Ambaye  hivi karibuni alipoenda kutembelea kituo kimoja nchini humo kwa ajili ya kutembelea na kuwasabahi hali ilisoyakawaida ya hewa yenye upepo iliweza kupa tabu sana mwanadada huyu kutokana na nguo aliyovaa,na pia inasemekana tukio kama hilo liliwahi kumtokea Princess Diana  na kuweza kupeperushiwasketi yake naupepo wakati akiwa anashuka kwenye ndege,na hata mwenyewe Malkia Elizabeth iliwahi kumtokea upepo kumsumbua akiwa anashuka kwenye moja ya gari wakati wa msafara wake 
zifuatazo ni  baadhi ya picha ambazo zinawaonyesha wote tukio moja ila mahali tofauti na wakati pia hizi hapa...








No comments:

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates