everything around the world

follow me on instagram and on twitter @moshyenbond ..and @twitter its @moshyhabibu

Search This Blog

Thursday, July 18, 2013

HAPPY BIRTHDAY MADIBA....NELSON MANDELA KWA KUTIMIZA MIAKA 95.




japo ni furaha kubwa sana kwa Nchini ya Africa ya Kusini na duniani kwa ujumla wanasherekea na kushangilia tarehe ya kuzaliwa kwa VIVA LA AFRICA AU TATA MADIBA hii leo lakini tofauti  ni kwamba yupo hospital  bado ila Dunia inafurahia na kushangilia na kumuombea kwa mungu arejee katika hali yake ya kawaida.


 

SHUPAVU,JASIRI,KAMANDA,MPIGANAJI WA HAKI  ALIHAKIKISHA AFRICA YA KUSINI INAKUWA HURU NA AMANI PIA HONERA SAANA NELSON MANDELA KWA YOTE ULIYOIFANYIA AFRICA  KILA LA KHERI TUNAKUTAKIA.

2 comments:

Unknown said...

Yap, happy birthday Tata Madiba, Mwenyezi Mungu akupe Ahueni maana tusingependa kukupoteza kama tulivyompoteza Mwl,kwakuwa ninyi ni vielelezo vya Ukombozi wa Mwafrika we still need u to our lives

Unknown said...

Yap, happy birthday Tata Madiba, Mwenyezi Mungu akupe Ahueni maana tusingependa kukupoteza kama tulivyompoteza Mwl,kwakuwa ninyi ni vielelezo vya Ukombozi wa Mwafrika we still need u to our lives

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates