everything around the world

follow me on instagram and on twitter @moshyenbond ..and @twitter its @moshyhabibu

Search This Blog

Wednesday, July 24, 2013

VITUKO VYA WENZETU angalia kwa makini baadhi ya picha hizi hapa chini kisha kama hautacheka basi wewe mapafu huna...hahahahha !

hili ni  Gari aina ya BMW ambalo lilikuwa limeegeshwa njiani eneo la wazi kabisa na kama unavyoona limegeuzwa kuwa swimming pool na lilijazwa maji na pembeni limewekewa nakshi za maua ya plastic .


ndipo polisi walipofika eneo hilo kwa ajili ya kuangalia kulikoni mbona gari lipo pekeake eneo la wazi hapo ..kufika walichokikuta ndo hicho hapo swimming pool la BMW.HALA



Na hao wameamua kupumzika chini ya Daraja huko Nchini CHINA mara baada ya kuchoka na jua na kazi za siku hiyo lakini hapo kama unavyoona magari yanapita kama kawaida coz ni njia ya magari na wao wakiwa wamepozi bila wasi wasi  ...




No comments:

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates