everything around the world

follow me on instagram and on twitter @moshyenbond ..and @twitter its @moshyhabibu

Search This Blog

Monday, August 26, 2013

YALIYOJIRI MTV VMAs 2013

 
kwa kupitia hizi picha pata kilichojiri kwenye MTV VMAs 2013, walichekesha,wapania na bila kusahau wanaojua kuvaa an kutupia piaaaa....ila kwa ufupi ni kwamba
Katy Perry, Lady Gaga and Miley Cyrus  hao watatu waliweza kutawala jukwaa na kufanya yaooo.huku mzee mzima Justine Timberlake alifunika kwanai yeye ndiye aliondoka na Tuzo 4  bila kigugumizi.
Lil kim naye alikuwepo huyo mwenye mabuti ya njano hapo kushoto.


x-girlfriend wa Beiber..selena Gomez alifunikaaaa
Lady Gagaaa ni kapindaaa ama nia kanyongorota?
 
KATTY PERRY  na stail yake hiyo kwenye stage

Miley Cyrus  na stail hiyo

Bruno baby....alitwaa tuzo 2,

my RIRI kama kawaida kwa vituko ila angalia hiyo top imechanika shingoni hahaha Drama girl hakutupia saana but so classic as well love her.

wow that's my Bruno with his tuzo
ila kinara alikuwa ni huyu Timbelake tuzo 4 dadadeki..... hongera kazi nzuri zinasemaga tu sio maneno
Taylor Swift  she looks so niceeee
 

Taylor Swift  akiwa na Bruno mars
 

No comments:

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates