kweli Money Talk..... hiki ndo choo ambacho King na Queen kanye west na kim watakuwa wakikitumia ndani ya Jumba lao kuuubwa ambalo linakaribia kuisha soon.
na hilo ndio Freezer ambalo lilinunuliwa kwa shilingi million 1.pia ambalo litakuwa likipendezesha jikoni kwa KIM k..
kitanda ambacho kitalaliwa na wawili hao.
na hii ndio sebule ambayo bado ipo kwenye matengenezo ya hapa na pale yaani haijakamilika so huenda ikabadilika muda wowote ila ndo itapatikana ndani ya Mjengo huo.
hii ndo nyumba ya KIM na KANYE ambayo inategemewa kuwa imemalizika ndani ya wiki 2 ili waweze kuhamia wawili hao...BABA NA MAMA NORTH......
chanzo cha habari kinasema KIM AND KANYE katika nyumba yao hiyo tegemea kuona a hair and makeup salon, bowling alley, indoor and outdoor pool, basketball court, movie theater and custom gym.
cha kuongezea niiiiiiiii kwamba BABA KASEMAAAA
"The security system is being upgraded and Nori's nursery is being outfitted with surveillance cameras."
No comments:
Post a Comment