Kim Kardashian alia na stretch marks baada ya kujifungua na huku akiwa na familia yake walienda kula bata huko Greek wakiwa na boat la kifahari kama familia kwa ajili ya kupumzika kwa raha zao.
mwanadada mwenye Drama zaidi ya unavyojua hivi karibuni alinunua choo cha gold kwa ajili ya yeye na kanye ndani ya nyumba yao mpya,ila leo kama unavyojua alijifungua hivi karibuni na kama kawaida ukizaa tumbo linachukua siku kadhaa ama mda then linarudi kuwa sawa na huku pia lazima michirizi kwa lugha yetu ya kiswahili lazima zitokee sasa kim anafanya kila awezalo kwa ajili ya kuziepuka ili asipoteze uzuri wake huo....
hapo Kim akijipaka cream hiyo kwenye boobs zake kwa ajili ya kuziondoa stretch marks kwa upande huo wa kifuani.
alionekana akiendelea zaid kuhakikisha hakuna sehemu ya boobs zake inakabiliwa na stretch marks.
akijpaka kwenye eneo lenyewe husika TumbO cream hiyo ambayo inaondoa michirizi.
haha poor her yuko makini kuhakikisha hakuna kutokewa na stretch marks
well as i told u Kim and her Family wapo mapumzikoni nchini Greek na huku wakiwa na Boat ,hapo ni familia nzima ya Kardashian.
Kim wa 3 kutoka mwanzo akiwa anapunga upepo eneo la ufukwe with her family.
awww Kim K her self
hapo kim akiwa anafanyiwa massage ya miguu yake kwani wakati wa ujauzito ilivimba saana kama ulivyoona aaww thats so sweety dogo lake Kloe akimjali sis.
akipata chakula wakati wakiwa huko kwenye mapumzikoni kanenepa saaana Kim as u see her.
sijui hapa alikuwa akimuwaza KANYE?maana katika mapumziko hayo na familia her Boyfriend hakuenda naye .
ila after all wenzie Kim wadogo zake na mama walipomaliza kula na kunywa waliamua kuogelea na kucheza kwenye maji na mengineyo ila Kim alijirudia kupumzika maana hivyo ndo inatakiwa kwa sasa kwa yeye kwani anahitaji muda mwingi wa kupumzika as well.
hilo ndio Boat ambalo linatumiwa na Familia ya KIM wakiwa huko mapumzikoni Greek.
picture kwa hisani kubwa ya E.website.
No comments:
Post a Comment