everything around the world

follow me on instagram and on twitter @moshyenbond ..and @twitter its @moshyhabibu

Search This Blog

Monday, July 29, 2013

Usiku wa jana watanzania waingia na Huzuni baada ya Mshiriki mmoja kati ya wanaotuwakilisha ndani ya Mjengo wa BIG BROTHER THE CHASE kuweza Kutolewa nje kabisa ya mashindano hayo NANDO IS OUT SO tumebakia na FEZA only AFRICA keep VOTING FOR HER TO WIN.PLZ.!

siku ya jana haikuwa nzuri kwani mshiriki wetu wa kiume kwenye nyumba ya BBA NANDO ALITOLEWA KABISA    ni kutokana na tabia zake ambazo amekuwa akizonyesha humo na pili kubwa zaidi ni ile ya kushika na kunoa VISU na pia kuonekana kila mara akigombana anashika mikasi na kisu so bigie akaona asije leta matatizo hapo baadae kwani juzi ijumaa aligombana na mshiriki mwenzie ELIKEM ndipo akawa anaongea maneno machafu na mabaya juu ya mshiriki huyo mwenzie kuwa hastahili kuishi  na mengineyo ,maneno hayo  yalimtoka NANDO juu ya  ELIKEM. so usiku wa jana ilikuwa ni simanzi na huzuni licha ya kwa watanzania tu bali kwa mchizi wake BIMP ambaye alikuwa anampenda yaani mwana kiselaa.


OH POOR TANZANIA tumebakiza mshiriki mmoja ambaye ni FEZA in the BBA 


hii ndio ilikuwa siku wakigombana NANDO na  ELIKEM  na ndipo chanzo kikuubwacha kutoka kwa mshiriki wetu huyo.
  ugomvi mbaya na pia mda mwingine usela ukizidi saana mhmh.....but anyways its the Game..

so please AFRICA vote for FEZA ili aweze kurudi na fedha hizo na kutuwakilisha vyema GOD BLES AFRICA GOD BLESS TANZANIA. AMIN...
 
 



No comments:

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates