everything around the world

follow me on instagram and on twitter @moshyenbond ..and @twitter its @moshyhabibu

Search This Blog

Tuesday, July 16, 2013


Kanye West’s New Hit Has Nothing to Do With Music.



kanye west mwenye umri wa miaka 36 ambaye ni baba mzazi  wa   mtoto wa Kim Kardashian aliyepewa jina la  North West  azindua clothing line  yenye maneno ijulikanayo kama  A.P.C. ambapo  zilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza kule mjini PARIS  zilionekana kuuza na kufanya vizuri zaidi kimauzo zaidi ya Albamu yake,

The nine-piece collection  which consists of the essentials  kama vile jeans, T-shirts, and hoodies zilipopelekwa sokoni jumapili asubuhi ilikuwa mida kama ya saa 4 kwa majira ya saa za kule mjini  Paris na kwa mujibu wa wananchi ziliweza kuuzika fast zaidi  japo kuna nguo kadhaa ambazo zilibaki na kurudi store but mauzo yalikwenda very well.


 hizo ni baadhi ya nguo zinazopatikana kwenye hiyo collection ya A.P.C. ....good job Kanye but sorry kwani Albamu haikuweza kufanya poa saana kimauzo ila mkwanja unanjia nyingi u seeeeeee?!.



No comments:

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates