everything around the world

follow me on instagram and on twitter @moshyenbond ..and @twitter its @moshyhabibu

Search This Blog

Thursday, August 15, 2013

'GET MY LOOK ....:RIHANNA

 Mwandadda mapepe na mwenye kujiamini siku zoote kila anachokifanya hakosei na hajawahi kukosea jana jumatano alionekana akitembea mitaani mara baada ya kushuka kwenye gari  lake la kifahari na kuelekea alikokuwa anaelekea hivi ndivyo alionekana akiwa ametupia na inasemekana na kuaminika kuwa huu ndo utakuwa muonekano wake mpya kwa sasa kwan ukiangalia nywele alishachange,kisha na anakuja na stail ya kuvaa Boyfriend  jeans na top ambazo zinaacha wazi tumbo lake na piaa kutupia cheni ya Gold kiunoni na kutupia cheni ya gold shingoni,na mkononi na herein..huku akiwa ametupia Chanel Hat

na hivyo ambavyo amevaa Rihanna amesema kuwa kwa sasa anategemea kuzindua  nguo zake ambazo ni kwa ajili ya  wasichana wadogo na  wa umri wake na hii ikiwa ni moja ya wazo ambalo alisema atalitimiza mara baada ya kuanza kupenda Fashion na ndipo anategemea kuzindua  nguo zake hizo ambazo ameziita River Island line ,ifikapo September 12.mwaka huu so kwa wasichana wapenda fashion,na kuwa smart u must to Get Rihanna Look soon.







No comments:

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates