everything around the world

follow me on instagram and on twitter @moshyenbond ..and @twitter its @moshyhabibu

Search This Blog

Tuesday, August 20, 2013

Before he was famous

Ingawa alikuwa mdogo lakini alikuwa na ndoto kubwa na aliona mbali saana anaumri wa miaka 36 kwa sasa ,akiwa ana utajiri mkubwa kipesa kibiashara na kwenye kila sekta anafahamika kwa jina la Kanye west.

nimeamua tu kukumbusha alikotokea Kanye west kupitia picha hizi hapa na baadhi ya pozi zake since he was 13,enjoy.

 
hapo ilikuwa ni ni siku ya middle school graduation..
                                                      
 

pozi la kanye sasa wakati ulimwengu unaanza kujua jua lol....

hapo ilikuwa ni mwaka 2007 akiwa na mama yake mzazi ambaye alimpoteza wakati akifanyia upasuaji ,licha ya kuwa mama mzazi lakini pia alikuwa ni meneja wake.

 






No comments:

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates